Aprili 10- 16
YEREMIA 22-24
Wimbo 52 na Sala
Utangulizi (Usizidi dak. 3)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Je, Una ‘Moyo wa Kumjua’ Yehova?”: (Dak. 10)
Yer 24:1-3—Yehova aliwalinganisha watu na tini (w13 3/15 8 ¶2)
Yer 24:4-7—Tini nzuri ziliwakilisha watu waliokuwa na moyo msikivu na mtiifu (w13 3/15 8-9 ¶4)
Yer 24:8-10—Tini mbaya ziliwakilisha watu waliokuwa na moyo wenye kuasi na usio mtiifu (w13 3/15 8 ¶3)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)
Yer 22:30—Kwa nini amri hii haikufutilia mbali haki ya Yesu ya kuketi kwenye kiti cha ufalme cha Daudi? (w07 3/15 10-11 ¶9)
Yer 23:33—“Mzigo wa Yehova” ni nini? (w07 3/15 11 ¶1)
Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?
Ni hazina gani nyingine za kiroho ulizopata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?
Usomaji wa Biblia: (Isizidi dak. 4) Yer 23:25-36
BORESHA HUDUMA YAKO
Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 2) g17.2 jalada—Weka msingi wa ziara ya kurudia
Ziara ya Kurudia: (Isizidi dak. 4) g17.2 jalada—Weka msingi wa ziara inayofuata.
Funzo la Biblia: (Isizidi dak. 6) lv 5 ¶1-2—Onyesha jinsi unavyoweza kufikia moyo wa mwanafunzi.
MAISHA YA MKRISTO
Wimbo 60
“Unaweza Kumtia Moyo Mkristo Asiyetenda”: (Dak. 15) Mazungumzo. Onyesha video Watie Moyo Wale Wasiotenda.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) kr sura ya 11 ¶1-8
Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)
Wimbo 93 na Sala