Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

HAZINA ZA NENO LA MUNGU | YEREMIA 22-24

Je, Una “Moyo wa Kumjua” Yehova?

Je, Una “Moyo wa Kumjua” Yehova?

Yehova aliwalinganisha watu na tini

24:5

  • Wayahudi waaminifu waliokuwa uhamishoni Babiloni walifananishwa na tini nzuri

24:8

  • Mfalme Sedekia ambaye hakuwa mwaminifu na wengine waliofanya mambo mabaya walifananishwa na tini mbaya

Tunaweza kusitawishaje “moyo wa kumjua” Yehova?

24:7

  • Yehova atatupa “moyo wa kumjua” ikiwa tutajifunza Neno lake na kufuata mambo tunayojifunza

  • Tunapaswa kuchunguza moyo wetu kwa unyoofu na kuondoa mitazamo na tamaa zinazoharibu uhusiano wetu na Yehova

Jiulize: Je, nina “moyo wa kumjua” Yehova? Ninaweza kuusitawisha jinsi gani?