Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Aprili 17-23

YEREMIA 25-28

Aprili 17-23
  • Wimbo 137 na Sala

  • Utangulizi (Usizidi dak. 3)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

  • Uwe Jasiri Kama Yeremia”: (Dak. 10)

  • Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak 8)

    • Yer 27:2, 3—Kwa nini huenda wajumbe kutoka mataifa mbalimbali walifika Yerusalemu, na kwa nini Yeremia aliwatengenezea wajumbe hao nira? (jr 27 ¶21)

    • Yer 28:11—Ni kwa njia gani Yeremia alitumia akili Hanania alipompinga, na tunaweza kujifunza nini kutokana na mfano wake? (jr 187-188 ¶11-12)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?

    • Ni hazina gani nyingine za kiroho ulizopata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?

  • Usomaji wa Biblia: (Isizidi dak. 4) Yer 27:12-22

BORESHA HUDUMA YAKO

MAISHA YA MKRISTO