Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

HAZINA NA NENO LA MUNGU | YEREMIA 25-28

Uwe Jasiri Kama Yeremia

Uwe Jasiri Kama Yeremia

Yeremia alionya kuwa Yerusalemu lingeharibiwa kama Shilo

26:6

  • Pindi fulani sanduku la agano, ambalo liliwakilisha kuwapo kwa Yehova, lilikuwa Shilo.

  • Yehova aliwaruhusu Wafilisti walichukue Sanduku, na halikurudishwa tena Shilo

Makuhani, manabii, na watu wote walitisha kumuua Yeremia

26:8, 9, 12, 13

  • Watu walimkamata Yeremia kwa sababu aliendelea kutoa unabii dhidi ya Yerusalemu na hekalu

  • Yeremia hakukata tamaa na kutoroka

Yehova alimlinda Yeremia

26:16, 24

  • Yeremia aliendelea kutenda kwa ujasiri na Yehova hakumwacha kamwe

  • Mungu alimchochea Ahikamu mwenye ujasiri kumlinda Yeremia

Kwa sababu Yehova alimtegemeza na kumtia moyo, Yeremia alifaulu kuhubiri kwa miaka 40 ujumbe ambao haukupendwa na watu wengi