Uwe Jasiri Kama Yeremia
Yeremia alionya kuwa Yerusalemu lingeharibiwa kama Shilo
-
Pindi fulani sanduku la agano, ambalo liliwakilisha kuwapo kwa Yehova, lilikuwa Shilo.
-
Yehova aliwaruhusu Wafilisti walichukue Sanduku, na halikurudishwa tena Shilo