Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

HAZINA ZA NENO LA MUNGU | YEREMIA 29-31

Yehova Alitabiri Kuhusu Agano Jipya

Yehova Alitabiri Kuhusu Agano Jipya

Yehova alitabiri kwamba agano jipya lingechukua mahali pa agano la Sheria. Agano hilo jipya lingeleta baraka za milele.

AGANO LA SHERIA

 

AGANO JIPYA

Yehova na Israeli wa asili

WASHIRIKI

Yehova na Israeli wa kiroho

Musa

MPATANISHI

Yesu Kristo

Dhabihu za wanyama

LILIHALALISHWA KWA

Dhabihu ya Yesu

Mabamba ya mawe

LILIANDIKWA KWENYE

Mioyo ya wanadamu