Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

HAZINA ZA NENO LA MUNGU | YEREMIA 17-21

Mruhusu Yehova Afinyange Matendo na Kufikiri Kwako

Mruhusu Yehova Afinyange Matendo na Kufikiri Kwako

Kubali kufinyangwa na Yehova

18:1-11

  • Yehova anafinyanga sifa zetu za kiroho kupitia mashauri au nidhamu

  • Tunahitaji kuwa tayari kuongozwa na kuwa watiifu

  • Yehova hatulazimishi tufanye mambo kinyume na mapenzi yetu

Mfinyanzi anaweza kuamua kufinyanga chombo kwa njia tofauti

  • Kwa kuwa Yehova ametupatia uhuru wa kuchagua, tunaweza kuchagua ama kukubali kufinyangwa naye au kukataa

  • Yehova anashughulika na wanadamu kulingana na jinsi wanavyopokea mwongozo wake

Ninahitaji kufinyagwa na Yehova katika mambo gani?