Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Mapendekezo ya Kuanzisha Mazungumzo

Mapendekezo ya Kuanzisha Mazungumzo

●○○ ZIARA YA KWANZA

Swali: Yesu alikuwa nani?

Andiko: Mt 16:16

Ziara Inayofuata: Kwa nini Yesu alikufa?

○●○ ZIARA YA KURUDIA YA KWANZA

Swali: Kwa nini Yesu alikufa?

Andiko: Mt 20:28

Ziara Inayofuata: Tunaweza kuonyeshaje kwamba tunathamini dhabihu ya fidia ya Yesu?

○○● ZIARA YA KURUDIA YA PILI

Swali: Tunaweza kuonyeshaje kwamba tunathamini dhabihu ya fidia ya Yesu?

Andiko: Yoh 17:3

Ziara Inayofuata: Ni nini hutendeka katika mikutano ya Mashahidi wa Yehova?

KAMPENI YA KUTOA MIALIKO YA UKUMBUSHO (Machi 23–Aprili 19):

Tungependa kukualika kwenye tukio la pekee sana. Huu ni mwaliko wako. Ijumaa, Aprili 19, mamilioni ya watu ulimwenguni pote watakusanyika pamoja kukumbuka kifo cha Yesu Kristo. Mwaliko huu unaonyesha mahali na wakati mkutano huo utafanywa katika eneo letu. Pia, tunakualika usikilize hotuba itakayotolewa juma moja mapema. Hotuba hiyo ina kichwa, “Jitahidi Kupata Uzima Ulio wa Kweli!”

Akipendezwa Weka Msingi wa Ziara Inayofuata: Kwa nini Yesu alikufa?