Yakobo na Labani Wafanya Agano la Amani
Kwa nini Yakobo na Labani walitengeneza rundo la mawe?
-
Lilikuwa ushahidi kwa watu wote waliopita hapo kuhusu agano la amani walilokuwa wamefanya
-
Liliwakumbusha kwamba Yehova alikuwa akitazama kuona ikiwa wangedumisha agano lao la amani
Leo, Yehova anatarajia watu wake wawe na amani miongoni mwao. Mambo haya matatu yatasaidiaje kudumisha amani au kuirudisha?
-
Kuzungumzia tatizo waziwazi.—Mt 5:23, 24
-
Kusamehe kwa hiari.—Kol 3:13
-
Kuwa na subira.—Ro 12:21