Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Aprili 27–Mei 3

MWANZO 34-35

Aprili 27–Mei 3

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

  • Madhara ya Kushirikiana na Marafiki Wabaya”: (Dak. 10)

  • Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 10)

    • Mwa 35:8—Debora alikuwa nani, na tunaweza kujifunza nini kutoka kwake? (it-1 600 ¶4)

    • Mwa 35:22-26—Tunajuaje kwamba haikuwa lazima kwa wazaliwa wa kwanza kufanyiza ukoo uliotokeza Masihi? (w17.12 14)

    • Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova Mungu, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?

  • Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) Mwa 34:1-19 (th somo la 5)

BORESHA HUDUMA YAKO

MAISHA YA MKRISTO