Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

HAZINA ZA NENO LA MUNGU | MWANZO 34-35

Madhara ya Kushirikiana na Marafiki Wabaya

Madhara ya Kushirikiana na Marafiki Wabaya

34:1, 2, 7, 25

Ingawa huenda tukaona kwamba majirani, wafanyakazi wenzetu, au wanafunzi wenzetu wana sifa fulani nzuri, je, hilo linamaanisha kwamba wao ni marafiki wazuri? Ni nini kinachoweza kutusaidia kutambua ikiwa mtu ni rafiki mzuri au la?

  • Je, kuendelea kushirikiana nao kutanisaidia kuboresha uhusiano wangu na Yehova?

  • Mazungumzo yao yanafunua ni jambo gani muhimu zaidi kwao?​—Mt 12:34

JIULIZE: ‘Rafiki zangu wanaathirije uhusiano wangu na Yehova?’