Kuimba wakati wa ibada ya familia nchini Afrika Kusini

DAFTARI LA MKUTANO WA HUDUMA NA MAISHA Desemba 2018

Mapendekezo ya Kuanzisha Mazungumzo

Mapendekezo ya kuanzisha mazungumzo kuhusu kusudi la uhai na ahadi ya Mungu ya wakati ujao.

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

Aliyekuwa Mtesaji Awa Shahidi Mwenye Bidii

Ikiwa unajifunza Biblia lakini bado hujabatizwa, je, utamwiga Sauli kwa kutenda haraka kulingana na yale unayojifunza?

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

Barnaba na Paulo Wafanya Wanafunzi Katika Maeneo ya Mbali

Licha ya upinzani mkali, Barnaba na Paulo walijitahidi sana kuwasaidia wapole wakubali Ukristo.

MAISHA YA MKRISTO

Kuboresha Ustadi Wetu Katika Huduma​—Kuwasaidia Watu Wenye “Mwelekeo Unaofaa” Kuwa Wanafunzi

Tunapofanya wanafunzi tunafanya kazi na Yehova jinsi gani?

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

Uamuzi wa Kauli Moja kwa Msingi wa Neno la Mungu

Tunaweza kujifunza nini kutokana na jinsi suala hilo lilivyotatuliwa?

MAISHA YA MKRISTO

Msifu Yehova kwa Shangwe Kupitia Nyimbo

Kuimba kunakuwa na matokeo gani mazuri juu yetu?

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

Mwige Mtume Paulo Unapohubiri na Kufundisha

Tunaweza kuigaje mfano wa mtume Paulo katika huduma yetu?

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

“Jiangalieni Wenyewe na Kundi Lote”

Wazee hulisha, kulinda, na kutunza kundi lote, wakikumbuka kwamba kila kondoo alinunuliwa kwa damu yenye thamani ya Kristo.