Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Desemba 24-​30

MATENDO 17-18

Desemba 24-​30
  • Wimbo 78 na Sala

  • Utangulizi (Usizidi dak. 3)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

  • Mwige Mtume Paulo Unapohubiri na Kufundisha”: (Dak. 10)

    • Mdo 17:2, 3—Paulo alijadiliana kwa kutumia Maandiko na alitumia marejeo alipofundisha (“akajadiliana” habari za utafiti Mdo 17:2, nwtsty; “akitumia Maandiko” habari za utafiti Mdo 17:3, nwtsty)

    • Mdo 17:17—Paulo alihubiri popote alipowakuta watu (“sokoni” habari za utafiti Mdo 17:17, nwtsty)

    • Mdo 17:22, 23—Paulo alikuwa macho na alianzisha mazungumzo kwa kutegemea mambo aliyokubaliana na wasikilizaji wake (“Kwa Mungu Asiyejulikana” habari za utafiti Mdo 17:23, nwtsty)

  • Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)

    • Mdo 18:18—Tunaweza kusema nini kuhusu nadhiri ambayo Paulo aliweka? (w08 5/15 32 ¶5)

    • Mdo 18:21—Tunaweza kumwigaje Paulo tunapofuatilia miradi ya kiroho? (“Yehova akipenda” habari za utafiti Mdo 18:21, nwtsty)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?

    • Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?

  • Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) Mdo 17:1-15

BORESHA HUDUMA YAKO

MAISHA YA MKRISTO

  • Wimbo 70

  • Hubiri na Ufundishe Habari Njema Kikamili: (Dak. 15) Mazungumzo. Onyesha video yenye kichwa Ibada ya Familia: Paulo—Alihubiri Habari Njema Kikamili. Kisha uliza maswali yafuatayo: Familia iliyoonyeshwa kwenye video ilitambuaje kwamba ilihitaji kuboresha huduma yao? Waliiga mambo gani katika huduma ya mtume Paulo? Walipofanya hivyo walipata baraka zipi? Ni mambo gani unayoweza kutumia wakati wa ibada ya familia?

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 47

  • Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)

  • Wimbo 151 na Sala