Mwige Mtume Paulo Unapohubiri na Kufundisha
Tunaweza kuigaje mfano wa mtume Paulo?
-
Tunaweza kutumia Maandiko kujadiliana na watu, na tunaweza kubadili mawazo yetu ili yawafae wasikilizaji wetu
-
Tunaweza kuhubiri mahali na wakati tunapowapata watu
-
Tunaweza kutaja imani ya wengine kwa busara ili kuanzisha mazungumzo juu ya mambo tunayokubaliana