Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

HAZINA ZA NENO LA MUNGU | MATENDO 17-18

Mwige Mtume Paulo Unapohubiri na Kufundisha

Mwige Mtume Paulo Unapohubiri na Kufundisha

17:2, 3, 17, 22, 23

Tunaweza kuigaje mfano wa mtume Paulo?

  • Tunaweza kutumia Maandiko kujadiliana na watu, na tunaweza kubadili mawazo yetu ili yawafae wasikilizaji wetu

  • Tunaweza kuhubiri mahali na wakati tunapowapata watu

  • Tunaweza kutaja imani ya wengine kwa busara ili kuanzisha mazungumzo juu ya mambo tunayokubaliana