Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Desemba 3-​9

MATENDO 9-11

Desemba 3-​9
  • Wimbo 115 na Sala

  • Utangulizi (Usizidi dak. 3)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

  • Aliyekuwa Mtesaji Awa Shahidi Mwenye Bidii”: (Dak. 10)

  • Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)

    • Mdo 9:4—Kwa nini Yesu alimuuliza Sauli: “Kwa nini unanitesa?” (bt 60-61 ¶5-6)

    • Mdo 10:6—Tunajifunza nini kumhusu mtume Petro kutokana na ukweli wa kwamba alikaa kwenye nyumba ya mtengenezaji wa ngozi? (“Simoni, mtengenezaji wa ngozi” habari za utafiti Mdo 10:6, nwtsty)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?

    • Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?

  • Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) Mdo 9:10-22

BORESHA HUDUMA YAKO

MAISHA YA MKRISTO

  • Wimbo 58

  • Mahitaji ya Kutaniko: (Dak. 8)

  • Mambo Yaliyotimizwa na Tengenezo: (Dak. 7) Onyesha video ya Desemba ya Mambo Yaliyotimizwa na Tengenezo.

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 44

  • Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)

  • Wimbo 59 na Sala

^ fu. 7 Ufupisho wa Machapisho: bt=“Kutoa Ushahidi Kamili” Kuhusu Ufalme wa Mungu; w=Mnara wa Mlinzi; nwtsty = Toleo la Funzo la Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya; jl=Ni Nani Wanaofanya Mapenzi ya Yehova Leo? jy = Yesu—Njia, Kweli, na Uzima