Desemba 3-9
MATENDO 9-11
Wimbo 115 na Sala
Utangulizi (Usizidi dak. 3)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Aliyekuwa Mtesaji Awa Shahidi Mwenye Bidii”: (Dak. 10)
Mdo 9:1, 2—Sauli aliwatesa kikatili wanafunzi wa Yesu (bt 60 ¶1-2) *
Mdo 9:15, 16—Sauli alichaguliwa kutoa ushahidi kumhusu Yesu (w16.06 7 ¶4)
Mdo 9:20-22—Sauli alikuja kuwa Shahidi mwenye bidii (bt 64 ¶15)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)
Mdo 9:4—Kwa nini Yesu alimuuliza Sauli: “Kwa nini unanitesa?” (bt 60-61 ¶5-6)
Mdo 10:6—Tunajifunza nini kumhusu mtume Petro kutokana na ukweli wa kwamba alikaa kwenye nyumba ya mtengenezaji wa ngozi? (“Simoni, mtengenezaji wa ngozi” habari za utafiti Mdo 10:6, nwtsty)
Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?
Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?
Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) Mdo 9:10-22
BORESHA HUDUMA YAKO
Video ya Ziara ya Kwanza: (Dak. 4) Onyesha video, kisha zungumzeni kuihusu.
Ziara ya Kurudia ya Kwanza: (Isizidi dak. 3) Tumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo.
Funzo la Biblia: (Lisizidi dak. 6) jl somo 6
MAISHA YA MKRISTO
Mahitaji ya Kutaniko: (Dak. 8)
Mambo Yaliyotimizwa na Tengenezo: (Dak. 7) Onyesha video ya Desemba ya Mambo Yaliyotimizwa na Tengenezo.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 44
Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)
Wimbo 59 na Sala
^ fu. 7 Ufupisho wa Machapisho: bt=“Kutoa Ushahidi Kamili” Kuhusu Ufalme wa Mungu; w=Mnara wa Mlinzi; nwtsty = Toleo la Funzo la Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya; jl=Ni Nani Wanaofanya Mapenzi ya Yehova Leo? jy = Yesu—Njia, Kweli, na Uzima