Desemba 31, 2018–Januari 6, 2019
MATENDO 19-20
Wimbo 103 na Sala
Utangulizi (Usizidi dak. 3)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Jiangalieni Wenyewe na Kundi Lote”: (Dak. 10)
Mdo 20:28—Wazee hulichunga kutaniko (w11 6/15 20-21 ¶5)
Mdo 20:31—Wazee hutoa msaada “usiku na mchana” kulingana na uhitaji (w13 1/15 31 ¶15)
Mdo 20:35—Wazee lazima wawe na roho ya kujidhabihu (bt 172 ¶20)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)
Mdo 19:9—Mtume Paulo aliwekaje kielelezo cha kuwa na bidii na kubadilika kulingana na hali? (bt 161 ¶11)
Mdo 19:19—Waefeso waliwekaje kielelezo kinachostahili kuigwa? (bt 162-163 ¶15)
Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?
Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?
Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) Mdo 19:1-20
BORESHA HUDUMA YAKO
Ziara ya Kurudia ya Pili: (Isizidi dak. 3) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Mpe mwenye nyumba kadi ya mawasiliano ya JW.ORG.
Ziara ya Kurudia ya Tatu: (Isizidi dak. 3) Chagua andiko na swali la kuweka msingi wa ziara inayofuata.
Funzo la Biblia: (Lisizidi dak. 6) jl somo 15
MAISHA YA MKRISTO
Wazoeze Vijana Wanaojaribu Kufikia Mapendeleo: (Dak. 15) Mazungumzo. Onyesha video. Kisha mjibu maswali yafuatayo: Wazee hutimiza sehemu gani muhimu katika kutaniko? (Mdo 20:28) Kwa nini wazee wanapaswa kuendelea kuwazoeza wengine? Wazee wanaweza kuigaje mfano wa Yesu wa kuwazoeza mitume wake? Akina ndugu wanapaswa kuwa na mtazamo gani wanapozoezwa? (Mdo 20:35; 1Ti 3:1) Wazee wanaweza kuwapa mazoezi gani yanayofaa? Wazee wanapaswa kuwa na maoni gani yenye usawaziko kuelekea wale wanaowazoeza?
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 48
Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)
Wimbo 118 na Sala