Vita Vya Mungu Vya Kukomesha Vita Vyote
Unafikiri ni sababu gani iliyomfanya Yehova, “Mungu wa upendo na amani,” amwagize Mwana wake, yule “Mkuu wa Amani,” apigane vita?—2Kor. 13:11; Isa. 9:6.
-
Yehova na Yesu wanapenda haki na kuchukia uovu
-
Amani na haki itapatikana waovu watakapokuwa wameondolewa
-
Majeshi ya Mungu mbinguni “[yana]fanya vita kwa uadilifu,” kama inavyoonyeshwa na farasi weupe na kile kitani bora, cheupe, na safi
Tunaweza kufanya nini ili kuhakikisha kwamba tutaokoka vita hivyo vikuu?—Sef. 2:3