Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

HAZINA ZA NENO LA MUNGU | UFUNUO 17-19

Vita Vya Mungu Vya Kukomesha Vita Vyote

Vita Vya Mungu Vya Kukomesha Vita Vyote

19:11, 14-16, 19-21

Unafikiri ni sababu gani iliyomfanya Yehova, “Mungu wa upendo na amani,” amwagize Mwana wake, yule “Mkuu wa Amani,” apigane vita?2Kor. 13:11; Isa. 9:6.

  • Yehova na Yesu wanapenda haki na kuchukia uovu

  • Amani na haki itapatikana waovu watakapokuwa wameondolewa

  • Majeshi ya Mungu mbinguni “[yana]fanya vita kwa uadilifu,” kama inavyoonyeshwa na farasi weupe na kile kitani bora, cheupe, na safi

Tunaweza kufanya nini ili kuhakikisha kwamba tutaokoka vita hivyo vikuu?—Sef. 2:3