Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

HAZINA ZA NENO LA MUNGU | UFUNUO 10-12

“Mashahidi Wawili” Wauawa na Kufufuliwa

“Mashahidi Wawili” Wauawa na Kufufuliwa

11:3-11

  • “Mashahidi Wawili”: Ni kikundi kidogo cha watiwa-mafuta waliokuwa wakiongoza wakati Ufalme wa Mungu ulisimamishwa mwaka wa 1914

  • Wauawa: Baada ya kuhubiri kwa siku tatu na nusu “wakiwa wamevaa nguo za magunia,” ‘waliuawa’ walipofungwa gerezani na kazi yao ikasimamishwa

  • Wafufuliwa: Mwishoni mwa siku tatu na nusu za mfano, walifufuliwa walipoachiliwa kutoka gerezani na kuendelea kuongoza kazi ya kuhubiri