Februari 22- 28
NEHEMIA 12-13
Wimbo 106 na Sala
Utangulizi (Isizidi dak. 3)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Mambo Tunayojifunza Kutoka kwa Nehemia”: (Dak. 10)
Ne 13:4-9—Epuka mashirika mabaya (w13 8/15 4 ¶5-8)
Ne 13:15-21—Tanguliza mambo ya kiroho (w13 8/15 5-6 ¶13-15)
Ne 13:23-27—Tunza utambulisho wako wa Kikristo (w13 8/15 6-7 ¶16-18)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)
Ne 12:31—Makundi mawili ya waimbaji yalitimiza nini? (it-2 454 ¶1)
Ne 13:31b—Nehemia alimwomba Yehova afanye nini? (w11 2/1 14 ¶3-5)
Usomaji wa Biblia wa juma hili unanifundisha nini kumhusu Yehova?
Ni mambo gani katika usomaji wa Biblia wa juma hili ninayoweza kutumia katika huduma ya shambani?
Usomaji wa Biblia: Ne 12:1-26 (Isizidi dak. 4)
BORESHA HUDUMA YAKO
Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 2) Mpe mwaliko wa Ukumbusho mtu ambaye hajaonyesha upendezi sana.
Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 4) Mpe mwaliko wa Ukumbusho na gazeti la Mnara wa Mlinzi mtu ambaye kwa kweli anapendezwa. Weka msingi wa ziara ya kurudia.
Funzo la Biblia: (Isizidi dak. 6) Mweleze mwanafunzi wa Biblia kuhusu Ukumbusho ukitumia kitabu Biblia Inafundisha, ukurasa wa 206-208. Toa msaada unaofaa ili kumsaidia mwanafunzi ahudhurie.
MAISHA YA MKRISTO
Wimbo 5
“Waalike Wote Katika Eneo Lako Wahudhurie Ukumbusho!”: (Dak. 15) Mazungumzo. Eleza mipango ya kutaniko ya kuwaalika watu wote katika eneo. Unapozungumzia “Hatua za Kufuata,” onyesha video ya Ukumbusho. Watie moyo wahubiri wote washiriki katika kampeni hiyo na wafuatilie upendezi wanaopata. Panga kuwe na onyesho.
Funzo la Biblia la Kutaniko: ia sura ya 9 ¶14-24, Sanduku kwenye uku. 82 mambo ya kufikiria (Dak. 30)
Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza, na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)
Wimbo 147 na Sala