Februari 8- 14
NEHEMIA 5-8
Wimbo 123 na Sala
Utangulizi (Isizidi dak. 3)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Nehemia Alikuwa Mwangalizi Mzuri Sana”: (Dak. 10)
Ne 5:1-7
—Nehemia aliwasikiliza watu na kuchukua hatua (w06 2/1 9 ¶2) Ne 5:14-19
—Nehemia alikuwa mnyenyekevu, mwenye busara, na hakuwa na ubinafsi (w06 2/1 10 ¶4) Ne 8:8-12
—Nehemia aliwapa watu mwongozo wa kiroho (w06 2/1 11 ¶4)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)
Ne 6:5—Kwa nini Sanbalati alimtumia Nehemia “barua iliyokuwa wazi”? (w06 2/1 9 ¶3)
Ne 6:10-13
—Kwa nini Nehemia hakukubali pendekezo la Shemaya? (w07 7/1 30 ¶15) Usomaji wa Biblia wa juma hili unanifundisha nini kumhusu Yehova?
Ni mambo gani katika usomaji wa Biblia wa juma hili ninayoweza kutumia katika huduma ya shambani?
Usomaji wa Biblia: Ne 6:14–7:7a (Isizidi dak. 4)
BORESHA HUDUMA YAKO
Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 2) Toa gazeti la karibuni la Amkeni! kwa kuzungumzia kichwa kwenye jalada. Weka msingi wa ziara ya kurudia.
Ziara ya Kurudia: (Isizidi dak. 4) Panga kuwe na onyesho la ziara ya kumrudia mtu aliyependezwa na gazeti la karibuni la Amkeni! Weka msingi wa ziara inayofuata.
Funzo la Biblia: (Isizidi dak. 6) Panga kuwe na onyesho la funzo la Biblia. (bh 28-29 ¶4-5)
MAISHA YA MKRISTO
Wimbo 62
Je, ‘Unajitahidi Kufikia’ Mapendeleo?: (Dak. 15) Hotuba itolewe na mzee ikitegemea gazeti la Mnara wa Mlinzi la Septemba 15, 2014, ukurasa wa 3-6. Onyesha video yenye kichwa Brothers—Reach Out for a Fine Work iliyoonyeshwa kwenye JW Broadcasting ya Desemba 2015. Kazia kwamba wanapaswa kuwa na nia inayofaa wanapojitahidi kufikia mapendeleo, na ueleze jinsi ndugu wanavyoweza kufanya hivyo. Watie moyo akina ndugu wajitahidi kufikia mapendeleo ya kuwa watumishi wa huduma na wazee.
Funzo la Biblia la Kutaniko: ia sura ya 8 ¶17-27, Sanduku kwenye uku. 75 mambo ya kufikiria (Dak. 30)
Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza, na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)
Wimbo 125 na Sala