DAFTARI LA MKUTANO WA HUDUMA NA MAISHA Februari 2018
Mapendekezo ya Kuanzisha Mazungumzo
Mazungumzo yanayotegemea maswali yafuatayo: Je, Biblia imepitwa na wakati? Je, Biblia inapatana na sayansi? Ushauri wa Biblia unatufaa katika njia gani?
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
Mfano wa Ngano na Magugu
Yesu anafafanua nini katika mfano wa ngano na magugu? Ni nani anayewakilishwa na mpandaji, adui, na wavunaji?
MAISHA YA MKRISTO
Mifano Kuhusu Ufalme na Jinsi Inavyotuhusu
Yesu alitumia mifano rahisi kufundisha kweli zenye kina za kiroho. Tunaweza kujifunza nini kingine kutokana na Mathayo sura ya 13?
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
Alitumia Wachache Kuwalisha Wengi
Yesu aliwaagiza wanafunzi wake walishe maelfu ya watu hata ingawa walikuwa na mikate mitano na samaki wawili tu. Ni jambo gani lilitokea na kilichotokea kinamaanisha nini kwetu?
MAISHA YA MKRISTO
“Mheshimu Baba Yako na Mama Yako”
Yesu alikazia amri ya ‘kumheshimu baba yako na mama yako.’ Je, amri hii ya kuwaheshimu wazazi wetu ina mwisho?
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
Unafikiri Mawazo ya Nani?
Tunapaswa kufanya nini ili tuongozwe na mapenzi ya Mungu na si ya Shetani? Yesu alitaja mambo matatu yatakayotusaidia tuepuke mawazo yasiyofaa.
MAISHA YA MKRISTO
Kuboresha Ustadi Wetu Katika Huduma—Kutumia Maswali Vizuri
Yesu aliuliza maswali vizuri ili kuwafundisha wasikilizaji wake masomo mbalimbali. Tunaweza kuigaje ustadi wake wa kufundisha tunapokuwa kwenye huduma?
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
Uwe Mwangalifu Usijikwaze na Usiwakwaze Wengine
Yesu alitumia mifano kufundisha jinsi lilivyo jambo zito kukwazwa au kuwakwaza wengine. Ni nini kinachoweza kuwa kikwazo maishani mwako?