Kufundisha kweli nchini Kambodia

DAFTARI LA MKUTANO WA HUDUMA NA MAISHA Februari 2018

Mapendekezo ya Kuanzisha Mazungumzo

Mazungumzo yanayotegemea maswali yafuatayo: Je, Biblia imepitwa na wakati? Je, Biblia inapatana na sayansi? Ushauri wa Biblia unatufaa katika njia gani?

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

Mfano wa Ngano na Magugu

Yesu anafafanua nini katika mfano wa ngano na magugu? Ni nani anayewakilishwa na mpandaji, adui, na wavunaji?

MAISHA YA MKRISTO

Mifano Kuhusu Ufalme na Jinsi Inavyotuhusu

Yesu alitumia mifano rahisi kufundisha kweli zenye kina za kiroho. Tunaweza kujifunza nini kingine kutokana na Mathayo sura ya 13?

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

Alitumia Wachache Kuwalisha Wengi

Yesu aliwaagiza wanafunzi wake walishe maelfu ya watu hata ingawa walikuwa na mikate mitano na samaki wawili tu. Ni jambo gani lilitokea na kilichotokea kinamaanisha nini kwetu?

MAISHA YA MKRISTO

“Mheshimu Baba Yako na Mama Yako”

Yesu alikazia amri ya ‘kumheshimu baba yako na mama yako.’ Je, amri hii ya kuwaheshimu wazazi wetu ina mwisho?

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

Unafikiri Mawazo ya Nani?

Tunapaswa kufanya nini ili tuongozwe na mapenzi ya Mungu na si ya Shetani? Yesu alitaja mambo matatu yatakayotusaidia tuepuke mawazo yasiyofaa.

MAISHA YA MKRISTO

Kuboresha Ustadi Wetu Katika Huduma​—Kutumia Maswali Vizuri

Yesu aliuliza maswali vizuri ili kuwafundisha wasikilizaji wake masomo mbalimbali. Tunaweza kuigaje ustadi wake wa kufundisha tunapokuwa kwenye huduma?

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

Uwe Mwangalifu Usijikwaze na Usiwakwaze Wengine

Yesu alitumia mifano kufundisha jinsi lilivyo jambo zito kukwazwa au kuwakwaza wengine. Ni nini kinachoweza kuwa kikwazo maishani mwako?