Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Februari 12-​18

MATHAYO 14-15

Februari 12-​18
  • Wimbo 93 na Sala

  • Utangulizi (Usizidi dak. 3)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

  • Alitumia Wachache Kuwalisha Wengi”: (Dak. 10)

  • Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)

    • Mt 15:7-9—Kwa nini tunapaswa kuepuka unafiki? (“wanafiki” habari za utafiti Mt 15:7, nwtsty)

    • Mt 15:26—Huenda Yesu alimaanisha nini aliposema “mbwa wadogo”? (“watoto . . . mbwa wadogo” habari za utafiti Mt 15:26, nwtsty)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?

    • Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?

  • Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) Mt 15:1-20

BORESHA HUDUMA YAKO

MAISHA YA MKRISTO

  • Wimbo 135

  • Uwe Rafiki ya Yehova—Kuanzisha Urafiki: (Dak. 7) Onyesha video. Kisha, waalike jukwaani watoto uliowachagua mapema, na uwaulize maswali yafuatayo: Kwa nini unapaswa kuanzisha urafiki na watu wanaompenda Yehova? Unaweza kujifunza nini kutoka kwao?

  • Mheshimu Baba Yako na Mama Yako”: (Dak. 8) Mazungumzo. Onyesha video ya vibonzo kwenye ubao yenye kichwa Ninawezaje Kuzungumza na Wazazi Wangu?

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 8

  • Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)

  • Wimbo 148 na Sala