Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

HAZINA ZA NENO LA MUNGU | MATHAYO 16-17

Unafikiri Mawazo ya Nani?

Unafikiri Mawazo ya Nani?

16:21-23

  • Ingawa bila shaka Petro alikuwa na nia njema, Yesu alirekebisha haraka mawazo yasiyofaa ya Petro

  • Yesu alijua kwamba huo haukuwa wakati wa ‘kujitendea kwa fadhili.’ Shetani alitamani sana Yesu alegeze msimamo wake wakati huo muhimu sana

16:24

Yesu alitaja mambo matatu tunayopaswa kufanya ili kuruhusu mapenzi ya Mungu yatuongoze. Mambo hayo yanahusisha nini?

  • Jikane mwenyewe

  • Beba mti wako wa mateso

  • Endelea kumfuata Yesu