Unafikiri Mawazo ya Nani?
-
Ingawa bila shaka Petro alikuwa na nia njema, Yesu alirekebisha haraka mawazo yasiyofaa ya Petro
-
Yesu alijua kwamba huo haukuwa wakati wa ‘kujitendea kwa fadhili.’ Shetani alitamani sana Yesu alegeze msimamo wake wakati huo muhimu sana
Yesu alitaja mambo matatu tunayopaswa kufanya ili kuruhusu mapenzi ya Mungu yatuongoze. Mambo hayo yanahusisha nini?
-
Jikane mwenyewe
-
Beba mti wako wa mateso
-
Endelea kumfuata Yesu