Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Februari 26–​Machi 4

MATHAYO 18-19

Februari 26–​Machi 4
  • Wimbo 121 na Sala

  • Utangulizi (Usizidi dak. 3)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

  • Uwe Mwangalifu Usijikwaze na Usiwakwaze Wengine”: (Dak. 10)

    • Mt 18:6, 7—Hatupaswi kuwakwaza wengine (“jiwe la kusagia ambalo huzungushwa na punda,” “vikwazo” habari za utafiti na “Jiwe la Kusagia,” “Jiwe la Kusagia la Juu na la Chini” picha Mt 18:6, 7, nwtsty)

    • Mt 18:8, 9—Tunapaswa kuepuka kufanya chochote kitakachotukwaza (“Gehena” habari za utafiti Mt 18:9, nwtsty na kamusi)

    • Mt 18:10—Yehova anajua ikiwa tumewakwaza wengine (“huutazama uso wa Baba yangu aliye mbinguni” habari za utafiti Mt 18:10, nwtsty; w10 11/1 16)

  • Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)

    • Mt 18:21, 22—Tunapaswa kuwa tayari kumsamehe ndugu yetu mara ngapi? (“mara 77” habari za utafiti Mt 18:22, nwtsty)

    • Mt 19:7—Kusudi la ‘cheti cha kufukuza’ lilikuwa nini? (“cheti cha kumfukuza” habari za utafiti na “Cheti cha Talaka” picha Mt 19:7, nwtsty)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?

    • Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?

  • Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) Mt 18:18-35

BORESHA HUDUMA YAKO

  • Ziara ya Kurudia ya Pili: (Isizidi dak. 3) Tumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo.

  • Ziara ya Kurudia ya Tatu: (Isizidi dak. 3) Chagua andiko utakalotumia, na umwachie chapisho la funzo.

  • Funzo la Biblia: (Lisizidi dak. 6) bhs 26 ¶18-20—Onyesha jinsi ya kugusa moyo.

MAISHA YA MKRISTO

  • Wimbo 90

  • Usiwe Kamwe Chanzo cha Kukwaza (2Ko 6:3): (Dak. 9) Onyesha video.

  • Kampeni ya Ukumbusho Itakayoanza Machi 3: (Dak. 6) Hotuba inayotegemea ukurasa wa 8 wa Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha la Februari 2016. “Waalike Wote Katika Eneo Lako Wahudhurie Ukumbusho!” Wape wote waliohudhuria nakala ya mwaliko wa Ukumbusho, na uzungumzie habari zilizomo. Kazia kwamba hotuba ya pekee “Yesu Kristo Ni Nani Hasa?” itatolewa juma la Machi 19, 2018. Hotuba hiyo itachochea hamu kwa ajili ya Ukumbusho. Taja mipango ya kutaniko lenu ya kuhubiri eneo lote.

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 10, sanduku “Safari zenye Shangwe

  • Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)

  • Wimbo 133 na Sala