Februari 5-11
MATHAYO 12-13
Wimbo 27 na Sala
Utangulizi (Usizidi dak. 3)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Mfano wa Ngano na Magugu”: (Dak. 10)
Mt 13:24-26—Mtu alipanda mbegu nzuri katika shamba lake, na adui yake akapanda magugu kwenye shamba hilohilo (w13 7/15 9-10 ¶2-3 *)
Mt 13:27-29—Ngano na magugu yalikua pamoja mpaka wakati wa mavuno (w13 7/15 10 ¶4)
Mt 13:30—Wakati wa mavuno, wavunaji walikusanya magugu kwanza, kisha wakakusanya ngano (w13 7/15 12 ¶10-12)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)
Mt 12:20—Tunaweza kuigaje huruma ya Yesu? (“utambi unaofifia” habari za utafiti Mt 12:20, nwtsty)
Mt 13:25—Je, ni kweli kwamba zamani mtu angeweza kupanda magugu katika shamba la mtu mwingine? (w16.10 32)
Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?
Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?
Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) Mt 12:1-21
BORESHA HUDUMA YAKO
Video ya Ziara ya Kwanza: (Dak. 4) Onyesha video, kisha zungumzeni kuihusu.
Ziara ya Kurudia ya Kwanza: (Isizidi dak. 3) Tumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo.
Funzo la Biblia: (Lisizidi dak. 6) bhs 22-23 ¶10-12
MAISHA YA MKRISTO
Mahitaji ya Kutaniko: (Dak. 5)
“Mifano Kuhusu Ufalme na Jinsi Inavyotuhusu”: (Dak. 10) Mazungumzo. Fikiria jinsi mifano hii inavyopaswa kutuchochea kushiriki katika huduma.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 7
Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)
Wimbo 10 na Sala
^ fu. 7 Ufupisho wa Machapisho: w = Mnara wa Mlinzi—Toleo la Funzo; nwtsty = Toleo la Funzo la Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya; bhs = Biblia Inatufundisha Nini?; jy = Yesu—Njia, Kweli, na Uzima