Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Februari 5-​11

MATHAYO 12-13

Februari 5-​11
  • Wimbo 27 na Sala

  • Utangulizi (Usizidi dak. 3)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

  • Mfano wa Ngano na Magugu”: (Dak. 10)

  • Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)

    • Mt 12:20—Tunaweza kuigaje huruma ya Yesu? (“utambi unaofifia” habari za utafiti Mt 12:20, nwtsty)

    • Mt 13:25—Je, ni kweli kwamba zamani mtu angeweza kupanda magugu katika shamba la mtu mwingine? (w16.10 32)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?

    • Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?

  • Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) Mt 12:1-21

BORESHA HUDUMA YAKO

MAISHA YA MKRISTO

^ fu. 7 Ufupisho wa Machapisho: w = Mnara wa Mlinzi—Toleo la Funzo; nwtsty = Toleo la Funzo la Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya; bhs = Biblia Inatufundisha Nini?; jy = Yesu—Njia, Kweli, na Uzima