MAISHA YA MKRISTO
Mifano Kuhusu Ufalme na Jinsi Inavyotuhusu
Yesu alitumia mifano rahisi kufundisha mambo mazito ya kiroho. Hata hivyo, watu wanyenyekevu tu ndio wanaojitahidi kuelewa na kutumia masomo aliyofundisha. (Mt 13:10-15) Katika kila mfano kuhusu Ufalme, jibu maswali yafuatayo: Ninaweza kunufaikaje kutokana na mfano huu? Unapaswa kuathiri maisha yangu katika njia gani?
UFALME WA MBINGUNI NI KAMA . . .
-
“mbegu ya haradali.”—Mt 13:31, 32; w14 12/15 8 ¶9.
-
“chachu.”—Mt 13:33; w14 12/15 9-10 ¶14-15.
-
“hazina” na “mfanyabiashara anayesafiri.”—Mt 13:44-46; w14 12/15 10 ¶18.