Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

MAISHA YA MKRISTO

Mifano Kuhusu Ufalme na Jinsi Inavyotuhusu

Mifano Kuhusu Ufalme na Jinsi Inavyotuhusu

Yesu alitumia mifano rahisi kufundisha mambo mazito ya kiroho. Hata hivyo, watu wanyenyekevu tu ndio wanaojitahidi kuelewa na kutumia masomo aliyofundisha. (Mt 13:10-15) Katika kila mfano kuhusu Ufalme, jibu maswali yafuatayo: Ninaweza kunufaikaje kutokana na mfano huu? Unapaswa kuathiri maisha yangu katika njia gani?

UFALME WA MBINGUNI NI KAMA . . .