Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Februari 25–​Machi 3

WAROMA 9-11

Februari 25–​Machi 3
  • Wimbo 25 na Sala

  • Utangulizi (Usizidi dak. 3)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

  • Mfano wa Mzeituni”: (Dak. 10)

  • Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)

    • Ro 9:21-23—Kwa nini tunapaswa kujitiisha tunapofinyangwa na yule Mfinyanzi Mkuu, Yehova? (w13 6/15 25 ¶5)

    • Ro 10:2—Kwa nini tunapaswa kuwa na uhakika kwamba ibada yetu inategemea ujuzi sahihi? (it-1 1260 ¶2)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?

    • Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?

  • Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) Ro 10:1-15 (th somo la 10)

BORESHA HUDUMA YAKO

MAISHA YA MKRISTO