Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Februari 5-11

ZABURI 1-4

Februari 5-11

Wimbo 150 na Sala | Utangulizi (Dak. 1)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

1. Simama Upande wa Ufalme wa Mungu

(Dak. 10)

[Onyesha VIDEO Utangulizi wa Zaburi.]

Serikali za wanadamu zimesimama dhidi ya Ufalme wa Mungu (Zb 2:2; w21.09 15 ¶8)

Yehova anawapa watu wote fursa ya kusimama upande wa Ufalme wake (Zb 2:​10-12)

JIULIZE, ‘Je, nimeazimia kutounga mkono upande wowote wa kisiasa kwa njia yoyote ile, hata ikiwa nitalazimika kupatwa na magumu?’—w16.04 29 ¶11.

2. Hazina za Kiroho

(Dak. 10)

  • Zb 1:4—Ni katika njia gani waovu ni kama “makapi yanayopeperushwa mbali na upepo”? (it-1 425)

  • Ungependa kushiriki nasi hazina gani kutoka kwenye usomaji wa Biblia wa juma hili?

3. Usomaji wa Biblia

BORESHA HUDUMA YAKO

4. Kuzungumza kwa Njia ya Kawaida—Filipo Alifanya Nini?

(Dak.7) Mazungumzo. Onyesha VIDEO, kisha mzungumzie lmd somo la 2 jambo kuu la 1-2.

5. Kuzungumza kwa Njia ya Kawaida—Mwige Filipo

(Dak. 8) Mazungumzo yanayotegemea lmd somo la 2 jambo kuu la 3-5 na “Soma Pia.”

MAISHA YA MKRISTO

Wimbo 32

6. Mahitaji ya Kutaniko

(Dak. 15)

7. Funzo la Biblia la Kutaniko

Umalizio (Dak. 3) | Wimbo 61 na Sala