Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Januari 1-7

AYUBU 32-33

Januari 1-7

Wimbo 102 na Sala | Utangulizi (Dak. 1)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

Elihu anamsikiliza Ayubu kwa hisia-mwenzi anapojieleza

1. Faraja kwa Wanaokabiliana na Mahangaiko

(Dak. 10)

Watendee wengine kama marafiki (Ayu 33:1; it-1 710)

Uwe na hisia-mwenzi, si mwenye kuhukumu (Ayu 33:​6, 7; w14 6/15 25 ¶8-10)

Kabla ya kusema, sikiliza na ufikiri kama Elihu alivyofanya (Ayu 33:​8-12, 17; w20.03 23 ¶17-18; ona picha kwenye jalada)

2. Hazina za Kiroho

(Dak. 10)

  • Ayu 33:25—Mstari huu unatusaidiaje kuwa na maoni yenye usawaziko kuhusu mwonekano wetu kadiri tunavyozeeka? (w13 1/15 19 ¶10)

  • Ungependa kushiriki nasi hazina gani kutoka kwenye usomaji wa Biblia wa juma hili?

3. Usomaji wa Biblia

BORESHA HUDUMA YAKO

4. Kupendezwa na Watu—Yesu Alifanya Nini?

(Dak. 7) Mazungumzo. Onyesha VIDEO, kisha mzungumzie lmd somo la 1 jambo kuu la 1-2.

5. Kupendezwa na Watu—Mwige Yesu

(Dak. 8) Mazungumzo yakitegemea lmd somo la 1 jambo kuu la 3-5 na “Soma Pia.”

MAISHA YA MKRISTO

Wimbo 116

6. Mahitaji ya Kutaniko

(Dak. 15)

7. Funzo la Biblia la Kutaniko

Umalizio (Dak. 3) | Wimbo 54 na Sala