Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Januari 22-28

AYUBU 38-39

Januari 22-28

Wimbo 11 na Sala | Utangulizi (Dak. 1)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

1. Je, Unatenga Wakati Kuchunguza Uumbaji?

(Dak. 10)

Baada ya kukamilisha uumbaji, Yehova alitumia muda kutafakari kazi aliyokuwa amefanya (Mwa 1:​10, 12; Ayu 38:​5, 6; w21.08 9 ¶7)

Malaika walitumia muda kuchunguza uumbaji wa Yehova (Ayu 38:7; w20.08 14 ¶2)

Tunaweza kuimarisha imani yetu katika Yehova tunapotenga wakati kuchunguza na kutafakari uumbaji (Ayu 38:​32-35; w23.03 17 ¶8)

2. Hazina za Kiroho

(Dak. 10)

  • Ayu 38:​8-10—Mistari hii inatufundisha nini kumhusu Yehova akiwa Mpaji-sheria wetu? (it-2 222)

  • Ungependa kushiriki nasi hazina gani kutoka kwenye usomaji wa Biblia wa juma hili?

3. Usomaji wa Biblia

BORESHA HUDUMA YAKO

4. Kuanzisha Mazungumzo

(Dak. 2) MAHUBIRI YASIYO RASMI. Malizia mazungumzo kwa njia nzuri unapotambua kwamba mtu huyo hataki kuzungumza. (lmd somo la 2 jambo kuu la 3)

5. Kufuatia Upendezi

(Dak. 5) NYUMBA KWA NYUMBA. Katika ziara iliyotangulia, mtu huyo alikuambia alifiwa na mpendwa wake hivi karibuni. (lmd somo la 9 jambo kuu la 3)

6. Hotuba

(Dak. 5) lmd nyongeza A jambo kuu la 1—Kichwa: Matukio Tunayoona na Jinsi Watu Wanavyojiendesha Ni Ishara ya Kwamba Hivi Karibuni Hali Zitabadilika. (th somo la 16)

MAISHA YA MKRISTO

Wimbo 111

7. Kuchunguza Uumbaji Kunatusaidia Kukumbuka Masuala Muhimu

(Dak. 15) Mazungumzo.

Ayubu aliposhambuliwa na marafiki wake watatu na Shetani, alifikiria kupita kiasi matatizo yake na maneno yasiyofaa aliyoambiwa.

Soma Ayubu 37:14. Kisha uwaulize wasikilizaji:

Ayubu alihitaji kufanya nini ili kupata tena usawaziko wake wa kiroho?

Tunapohisi tumelemewa na matatizo yetu, kuchunguza uumbaji kunaweza kutusaidia kukumbuka ukuu wa Yehova, kuimarisha tamaa yetu ya kuendelea kuwa washikamanifu kwake, na kuimarisha uhakika wetu katika uwezo wake wa kututunza.—Mt 6:26.

Onyesha VIDEO Mambo Tunayojifunza Kutokana na Kitabu cha Ayubu—Wanyama. Kisha uwaulize wasikilizaji:

Video hiyo imeimarishaje imani yako katika Yehova?

8. Funzo la Biblia la Kutaniko

Umalizio (Dak. 3) | Wimbo 54 na Sala