Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Februari 10-16

ZABURI 147-150

Februari 10-16

Wimbo 12 na Sala | Utangulizi (Dak. 1)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

1. Tuna Sababu Nyingi za Kumsifu Yah

(Dak. 10)

Anatujali sisi mmojammoja (Zb 147:​3, 4; w17.07 18 ¶5-6)

Anaelewa udhaifu wetu naye hutumia nguvu zake kutusaidia (Zb 147:5; w17.07 18 ¶7)

Anatupatia pendeleo la kuwa miongoni mwa watu wake (Zb 147:​19, 20; w17.07 21 ¶18)


JIULIZE, ‘Ni nini kingine kinachonichochea kumsifu Yehova?’

2. Hazina za Kiroho

(Dak. 10)

  • Zb 148:​1, 10—“Ndege wenye mabawa” humsifu Yehova katika njia gani? (it-1 316)

  • Ungependa kushiriki nasi hazina gani kutoka kwenye usomaji wa Biblia wa juma hili?

3. Usomaji wa Biblia

BORESHA HUDUMA YAKO

4. Kuanzisha Mazungumzo

(Dak. 3) NYUMBA KWA NYUMBA. Mtu huyo anakueleza kwamba anakabiliana na ugonjwa wa kudumu. (lmd somo la 2 jambo kuu la 5)

5. Kuanzisha Mazungumzo

(Dak. 4) MAHUBIRI YASIYO RASMI. Tafuta nafasi ya kumweleza mtu jambo ambalo ulijifunza kwenye mikutano hivi karibuni. (lmd somo la 4 jambo kuu la 3)

6. Hotuba

(Dak. 5) w19.03 10 ¶7-11—Kichwa: Msikilize Yesu—Hubiri Habari Njema. Ona picha. (th somo la 14)

MAISHA YA MKRISTO

Wimbo 159

7. Ripoti ya Utumishi ya Kila Mwaka

(Dak. 15) Mazungumzo.

Baada ya kusoma tangazo kutoka kwenye ofisi ya tawi kuhusu ripoti ya utumishi ya kila mwaka, waalike wasikilizaji waeleze mambo mengine mazuri waliyoona kwenye chapisho 2024 Ripoti ya Mwaka wa Utumishi ya Mashahidi wa Yehova Ulimwenguni Pote. Wahoji wahubiri waliotayarishwa mapema ambao walijionea mambo yenye kutia moyo katika huduma mwaka uliopita.

8. Funzo la Biblia la Kutaniko

Umalizio(Dak. 3) | Wimbo 37 na Sala