Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Februari 17-23

METHALI 1

Februari 17-23

Wimbo 88 na Sala | Utangulizi (Dak. 1)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

Mwana wa Sulemani akisikiliza nidhamu yenye upendo ya baba yake

1. Vijana—Mtamsikiliza Nani?

(Dak. 10)

[Onyesha VIDEO yenye kichwa Utangulizi wa Methali.]

Muwe na hekima msikilize wazazi wenu (Met 1:8; w17.11 29 ¶16-17; ona picha)

Usiwasikilize wanaotenda maovu (Met 1:​10, 15; w05 2/15 19-20 ¶11-12)

2. Hazina za Kiroho

(Dak. 10)

  • Met 1:22—Kwa kawaida, maneno “mjinga” na “mpumbavu” yanamaanisha nini yanapotumiwa katika Biblia? (w22.10 21 ¶6, 7, 11)

  • Ungependa kushiriki nasi hazina gani kutoka kwenye usomaji wa Biblia wa juma hili?

3. Usomaji wa Biblia

BORESHA HUDUMA YAKO

4. Kuanzisha Mazungumzo

(Dak. 2) MAHUBIRI YA UMMA. Mwenye nyumba anataka kubishana nawe. (lmd somo la 6 jambo kuu la 5)

5. Kuanzisha Mazungumzo

(Dak. 2) MAHUBIRI YA UMMA. Mpe namba yako mtu aliyependezwa na umwombe yake. (lmd somo la 1 jambo kuu la 5)

6. Kufuatia Upendezi

(Dak. 2) MAHUBIRI YASIYO RASMI. Mweleze kuhusu programu yetu ya kujifunza Biblia, na umpe kadi ya mawasiliano ya kujifunza Biblia. (lmd somo la 9 jambo kuu la 5)

7. Kufanya Wanafunzi

(Dak. 5) lff somo la 16 jambo kuu la 6. Tumia makala kutoka kwenye sehemu ya “Chunguza Zaidi” unapozungumza na mwanafunzi ambaye anajiuliza ikiwa kweli miujiza ambayo Yesu alifanya ilikuwa halisi. (th somo la 3)

MAISHA YA MKRISTO

Wimbo 89

8. Mahitaji ya Kutaniko

(Dak. 15)

9. Funzo la Biblia la Kutaniko

Umalizio (Dak. 3) | Wimbo 80 na Sala