Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Januari 13-19

ZABURI 135-137

Januari 13-19

Wimbo 2 na Sala | Utangulizi (Dak. 1)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

1. “Bwana Wetu Ni Mkuu Kuliko Miungu Mingine Yote”

(Dak. 10)

Yehova ameonyesha mamlaka juu ya uumbaji wake wote (Zb 135:​5, 6; w15 6/15 6 ¶15)

Yeye huwatetea watu wake (Kut 14:​29-31; Zb 135:14)

Anatutegemeza tunapojihisi wanyonge (Zb 136:23; w21.11 6 ¶16)

2. Hazina za Kiroho

(Dak. 10)

  • Zb 135:​1, 5—Kwa nini neno “Yah” linatumiwa katika Biblia? (ip-1 169 ¶25)

  • Ungependa kushiriki nasi hazina gani kutoka kwenye usomaji wa Biblia wa juma hili?

3. Usomaji wa Biblia

BORESHA HUDUMA YAKO

4. Kuanzisha Mazungumzo

(Dak. 3) MAHUBIRI YASIYO RASMI. Mpe namba yako mtu aliyependezwa na umwombe yake. (lmd somo la 2 jambo kuu la 4)

5. Kufuatia Upendezi

(Dak. 4) NYUMBA KWA NYUMBA. Mwalike mwenye nyumba kwenye mkutano. (lmd somo la 9 jambo kuu la 4)

6. Kufafanua Imani Yako

(Dak. 5) Onyesho. ijwfq makala ya 7—Kichwa: Je, Mashahidi wa Yehova Ni Wakristo? (th somo la 12)

MAISHA YA MKRISTO

Wimbo 10

7. Mahitaji ya Kutaniko

(Dak. 15)

8. Funzo la Biblia la Kutaniko

Umalizio (Dak. 3) | Wimbo 90 na Sala