Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Agosti 14-20

NEHEMIA 8-9

Agosti 14-20

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

  • Shangwe ya Yehova Ndiyo Ngome Yenu”: (Dak. 10)

  • Hazina za Kiroho: (Dak. 10)

    • Ne 8:2, 8—Ikiwa waliokuwepo wangeweza “kusikiliza na kuelewa” Sheria iliposomwa, kwa nini Walawi walihitaji kuielezea pia? (it-1 145 ¶2)

    • Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?

  • Usomaji wa Biblia: (Dak. 4) Ne 8:1-12 (th somo la 10)

BORESHA HUDUMA YAKO

MAISHA YA MKRISTO