Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Ezra akiwasomea watu Sheria na kumsifu Yehova

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

“Shangwe ya Yehova Ndiyo Ngome Yenu”

“Shangwe ya Yehova Ndiyo Ngome Yenu”

Watu walikusanyika ili kumsikiliza Ezra akisoma Sheria (Ne 8:1, 2; w13 10/15 21 ¶2; ona picha kwenye jalada)

Huu ulikuwa wakati wa kumwabudu Yehova kwa shangwe, si wakati wa kuombolezea dhambi za wakati uliopita (Ne 8:9, 11, 12)

Shangwe ya Yehova ndiyo ngome ya watumishi wake (Ne 8:10; w07 7/15 22 ¶9-10)

JIULIZE, ‘Licha ya changamoto ninazokabili, nina sababu zipi hususa za kuwa na shangwe?’