Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

Walijidhabihu kwa Ajili ya Yehova

Walijidhabihu kwa Ajili ya Yehova

Familia ziliombwa ziache makao na ardhi yao ya urithi na kuhamia Yerusalemu (Ne 11:1; w98 10/15 22 ¶13)

Waliokuwa tayari kujidhabihu walibarikiwa (Ne 11:2; w86 2/15 22)

Sikuzote baraka tunazopata kutoka kwa Yehova ni nyingi kuliko dhabihu tulizotoa (Mal 3:10; w16.04 8 ¶15)

JIULIZE, ‘Nimepata baraka zipi baada ya kujidhabihu ili kumtumikia Yehova?’