Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Agosti 28–Septemba 3

NEHEMIA 12-13

Agosti 28–Septemba 3

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

  • Uwe Mshikamanifu kwa Yehova Unapochagua Marafiki”: (Dak. 10)

  • Hazina za Kiroho: (Dak. 10)

    • Ne 13:10—Kwa kuwa waimbaji katika hekalu walikuwa Walawi, kwa nini wanatajwa kihususa baada ya Walawi wengine kutajwa? (it-2 452 ¶9)

    • Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?

  • Usomaji wa Biblia: (Dak. 4) Ne 12:27-39 (th somo la 2)

BORESHA HUDUMA YAKO

MAISHA YA MKRISTO