Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

Uwe Mshikamanifu kwa Yehova Unapochagua Marafiki

Uwe Mshikamanifu kwa Yehova Unapochagua Marafiki

Waamoni na Wamoabu hawakuruhusiwa “kuingia katika kutaniko” kwa sababu zamani walikuwa wamewapinga watu wa Mungu (Ne 13:1, 2; it-1 95 ¶5)

Kuhani Mkuu Eliashibu alimruhusu Mwamoni kutumia chumba cha kulia chakula katika hekalu (Ne 13:4, 5; w13 8/15 4 ¶5-6)

Nehemia alionyesha ushikamanifu kwa Yehova kwa kukomesha mpango ambao Eliashibu alikuwa amefanya na adui ya Mungu (Ne 13:7-9)

Tukichagua marafiki wasiompenda Yehova, je, kweli sisi ni washikamanifu kwa Yehova?​—w96 3/15 16 ¶6.

JIULIZE, ‘Yehova anahisije kuhusu watu niliochagua kuwa marafiki wangu?’