Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

Matendo ya Ezra Yalimletea Yehova Heshima

Matendo ya Ezra Yalimletea Yehova Heshima

Ezra aliruhusu Neno la Mungu liguse moyo wake na kuongoza matendo yake (Ezr 7:10; w00 10/1 14 ¶8)

Watu walitambua kwamba Ezra alikuwa na hekima kutoka kwa Mungu (Ezr 7:25; si 75 ¶5)

Kwa sababu Ezra alijinyenyekeza mbele za Mungu alikuwa na uhakika kwamba Yehova angemwongoza na kumlinda (Ezr 8:21-23; it-1 1158 ¶4)

Kwa kuwa Ezra alitenda kwa hekima iliyotoka kwa Mungu, mfalme alichochewa kumkabidhi majukumu mazito. Kama Ezra alivyofanya, sisi pia tunaweza kumletea Yehova heshima kupitia matendo yetu.

JIULIZE, ‘Je, watu ambao si waamini wananiheshimu kwa sababu ya matendo yangu yanayomletea Mungu heshima?