Julai 17-23
EZRA 9-10
Wimbo 89 na Sala
Utangulizi (Dak. 1)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Uchungu Mwingi Unaotokana na Kutotii”: (Dak. 10)
Hazina za Kiroho: (Dak. 10)
Ezr 10:44—Kwa nini watoto walifukuzwa pamoja na mama zao? (w06 1/15 20 ¶2)
Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?
Usomaji wa Biblia: (Dak. 4) Ezr 9:1-9 (th somo la 2)
BORESHA HUDUMA YAKO
Ziara ya Kwanza: (Dak. 3) Tumia trakti Je, Kuteseka Kutaisha? ili kutoa utangulizi wa habari iliyo kwenye pendekezo la kuanzisha mazungumzo. (th somo la 13)
Ziara ya Kurudia: (Dak. 4) Anza kwa kutumia habari iliyo kwenye pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Kisha mwalike mtu huyo kwenye mikutano, toa utangulizi wa video Ni Nini Hutendeka Katika Jumba la Ufalme? (lakini usionyeshe video) kisha mzungumze kuihusu. (th somo la 6)
Funzo la Biblia: (Dak. 5) lff somo la 11 utangulizi na jambo kuu la 1-3 (th somo la 14)
MAISHA YA MKRISTO
Utii Ni Ulinzi (2Th 1:8): (Dak. 15) Mazungumzo. Onyesha video. Kisha waulize wasikilizaji: Ni nini kitatendeka kabla ya Har–Magedoni?
Tunanufaikaje kwa kutii sasa?
Kuna uhusiano gani kati ya Har–Magedoni na utii?
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) lff somo la 50 jambo kuu la 6-7, muhtasari, ungejibuje, na lengo
Umalizio (Dak. 3)
Wimbo 133 na Sala