Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

Uchungu Mwingi Unaotokana na Kutotii

Uchungu Mwingi Unaotokana na Kutotii

Baadhi ya Waisraeli walifunga ndoa na watu walioabudu sanamu (Ezr 9:1, 2; w06 1/15 20 ¶1)

Walipuuza amri za Yehova zilizo wazi (Ezr 9:10-12)

Walijiletea wao na familia zao uchungu mwingi kwa sababu ya kutotii (Ezr 10:10, 11, 44)

Amri zote ambazo Yehova ametoa ni kwa faida yetu. (w09 10/1 10 ¶6) Tunapotii tunaepuka matatizo mengi wakati huu na wakati ujao tutapata baraka za milele.

JIULIZE, ‘Nimeepuka matatizo gani kwa sababu ya kumtii Yehova?’