Julai 24-30
NEHEMIA 1-2
Wimbo 47 na Sala
Utangulizi (Dak. 1)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Mara Moja Nikasali”: (Dak. 10)
Hazina za Kiroho: (Dak. 10)
Ne 2:4—Je, hii ilikuwa mara ya kwanza kwa Nehemia kusali kuhusu jambo hili, na tunajifunza somo gani? (w86 2/15 21)
Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?
Usomaji wa Biblia: (Dak. 4) Ne 2:11-20 (th somo la 2)
BORESHA HUDUMA YAKO
Ziara ya Kwanza: (Dak. 3) Anza kwa kutumia habari iliyo kwenye pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Mweleze mwenye nyumba kuhusu tovuti yetu, na umwachie kadi ya mawasiliano ya jw.org. (th somo la 16)
Ziara ya Kurudia: (Dak. 4) Anza kwa kutumia habari iliyo kwenye pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Toa chapisho kutoka kwenye Sanduku la Vifaa vya Kufundishia. (th somo la 3)
Funzo la Biblia: (Dak. 5) lff somo la 11 utangulizi wa Chimba Zaidi na jambo kuu la 4 (th somo la 11)
MAISHA YA MKRISTO
Uwe Rafiki ya Yehova—Je, Yehova Anajibu Sala?: (Dak. 15) Mazungumzo. Onyesha video. Kisha waulize wasikilizaji, Video hii inatufundisha nini kuhusu sala?
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) lff somo la 51
Umalizio (Dak. 3)
Wimbo 102 na Sala