Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Julai 24-30

NEHEMIA 1-2

Julai 24-30

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

  • Mara Moja Nikasali”: (Dak. 10)

  • Hazina za Kiroho: (Dak. 10)

    • Ne 2:4—Je, hii ilikuwa mara ya kwanza kwa Nehemia kusali kuhusu jambo hili, na tunajifunza somo gani? (w86 2/15 21)

    • Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?

  • Usomaji wa Biblia: (Dak. 4) Ne 2:11-20 (th somo la 2)

BORESHA HUDUMA YAKO

MAISHA YA MKRISTO

  • Wimbo 44

  • Uwe Rafiki ya Yehova—Je, Yehova Anajibu Sala?: (Dak. 15) Mazungumzo. Onyesha video. Kisha waulize wasikilizaji, Video hii inatufundisha nini kuhusu sala?

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) lff somo la  51

  • Umalizio (Dak. 3)

  • Wimbo 102 na Sala