Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Julai 3-9

EZRA 4-6

Julai 3-9

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

  • Msiingilie Kazi”: (Dak. 10)

  • Hazina za Kiroho: (Dak. 10)

    • Ezr 6:13—Kwa nini maneno “Ng’ambo ya Mto” ni muhimu? (w93 6/15 32 ¶3-5)

    • Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?

  • Usomaji wa Biblia: (Dak. 4) Ezr 4:8-24 (th somo la 5)

BORESHA HUDUMA YAKO

  • Video ya Ziara ya Kwanza: (Dak. 5) Mazungumzo. Onyesha video yenye kichwa Ziara ya Kwanza: Kuteseka—Yak 1:13. Simamisha video kila mara kunapokuwa na kituo, kisha uwaulize wasikilizaji maswali yanayojitokeza kwenye video.

  • Ziara ya Kwanza: (Dak. 4) Tumia habari iliyo kwenye pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Mweleze mwenye nyumba kuhusu tovuti yetu, na umwachie kadi ya mawasiliano ya jw.org. (th somo la 1)

  • Ziara ya Kwanza: (Dak. 4) Anza kwa kutumia habari iliyo kwenye pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Mweleze mwenye nyumba kuhusu programu yetu ya kujifunza Biblia, na umpe kadi ya mawasiliano ya masomo ya Biblia. (th somo la 9)

MAISHA YA MKRISTO