Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

Je, Unaona Ni Kujishushia Heshima Kufanya Kazi za Mikono?

Je, Unaona Ni Kujishushia Heshima Kufanya Kazi za Mikono?

Kuhani mkuu na ndugu zake hawakujiona kuwa watu wa maana sana hivi kwamba hawawezi kushiriki kazi ya kujenga upya kuta za Yerusalemu (Ne 3:1)

Baadhi ya wanaume walikataa “kujishusha” kusaidia kazi ya kurekebisha kuta (Ne 3:5; w06 2/1 10 ¶1)

Wanawake waliomwogopa Mungu walishiriki kwa hiari katika kazi hiyo ngumu (Ne 3:12; w19.10 23 ¶11)

Kazi nyingi ambazo lazima zifanywe kutanikoni zinatia ndani kazi ngumu au ambazo wengine huona kuwa ni za hali ya chini na huenda zisionekane na wengine.​—w04 8/1 18 ¶16.

JIULIZE, ‘Ninahisije kuhusu kufanya kazi kama hizo kwa ajili ya habari njema?’​—1Ko 9:23.