Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Agosti 12-18

ZABURI 73-74

Agosti 12-18

Wimbo 36 na Sala | Utangulizi (Dak. 1)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

1. Vipi Ikiwa Tunawaonea Wivu Watu Ambao Hawamtumikii Mungu?

(Dak. 10)

Tunaweza kuanza kuwaonea wivu watu ambao hawamtumikii Mungu (Zb 73:3-5; w20.12 19 ¶14)

Tunaweza kupata tena mtazamo unaofaa tunapojiunga na ndugu zetu katika ibada, badala ya kujitenga (Zb 73:17; Met 18:1; w20.12 19 ¶15-16)

Wale ambao hawamtumikii Mungu wamesimama “kwenye ardhi yenye utelezi”; wanaomtumikia Mungu wataongozwa “kwenye utukufu” (Zb 73:18, 19, 24; w14 4/15 4 ¶5; w13 2/15 25-26 ¶3-5)

2. Hazina za Kiroho

(Dak. 10)

  • Zb 74:13, 14—Inaonekana “Lewiathani” anarejelea nini? (it-2 240)

  • Ungependa kushiriki nasi hazina gani kutoka kwenye usomaji wa Biblia wa juma hili?

3. Usomaji wa Biblia

BORESHA HUDUMA YAKO

4. Kuanzisha Mazungumzo

(Dak. 3) MAHUBIRI YASIYO RASMI. Tafuta nafasi ya kumweleza mtu mnayefahamiana jambo ambalo ulijifunza kwenye mkutano hivi karibuni. (lmd somo la 2 jambo la 4)

5. Kufuatia Upendezi

(Dak. 4) MAHUBIRI YA UMMA. Mwalike ajifunze Biblia na umwonyeshe jinsi linavyoongozwa. (lmd somo la 8 jambo kuu la 3)

6. Kufafanua imani Yako

(Dak. 5) Hotuba. ijwbq 89—Kichwa: Je, Dini Zote Ni Nzuri? (th somo la 14)

MAISHA YA MKRISTO

Wimbo 72

7. Mahitaji ya Kutaniko

(Dak. 15)

8. Funzo la Biblia la Kutaniko

Umalizio (Dak. 3) | Wimbo 98 na Sala