Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Agosti 5-11

ZABURI 70-72

Agosti 5-11

Wimbo 59 na Sala | Utangulizi (Dak. 1)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

1. ‘Kiambie Kizazi Kijacho’ Kuhusu Nguvu za Mungu

(Dak. 10)

Daudi alijionea ulinzi wa Yehova alipokuwa kijana (Zb 71:5; w99 9/1 18 ¶17)

Daudi alihisi utegemezo wa Yehova alipozeeka (Zb 71:9; g04 10/8 23 ¶3)

Daudi aliwatia moyo vijana kwa kuwasimulia mambo aliyojionea (Zb 71:​17, 18; w14 1/15 23 ¶4-5)

JIULIZE, ‘Ni mtumishi gani wa muda mrefu kutanikoni ambaye ningependa kumhoji wakati wa jioni yetu ya Ibada ya Familia?’

2. Hazina za Kiroho

(Dak. 10)

  • Zb 72:8—Ahadi ya Yehova kwa Abrahamu kwenye Mwanzo 15:18 ilitimizwaje wakati wa utawala wa Mfalme Sulemani? (it-1 768)

  • Ungependa kushiriki nasi hazina gani kutoka kwenye usomaji wa Biblia wa juma hili?

3. Usomaji wa Biblia

BORESHA HUDUMA YAKO

4. Kuanzisha Mazungumzo

(Dak. 3) NYUMBA KWA NYUMBA. Mwenye nyumba anapoanza kutokeza ubishi, maliza mazungumzo kwa njia inayofaa. (lmd somo la 4 jambo kuu la 5)

5. Kufuatia Upendezi

(Dak. 4) MAHUBIRI YASIYO RASMI. Endeleza mazungumzo ya wakati uliopita pamoja na mtu wa ukoo ambaye anasita kujifunza Biblia. (lmd somo la 8 jambo kuu la 4)

6. Kufafanua Imani Yako

(Dak. 5) Hotuba. ijwfq 49—Kichwa: Kwa Nini Mashahidi wa Yehova Wamebadili Baadhi ya Imani Zao? (th somo la 17)

MAISHA YA MKRISTO

Wimbo 76

7. Mapendekezo kwa Ajili ya Ibada ya Familia

(Dak. 15) Mazungumzo.

Jioni ya Ibada ya Familia ni wakati muhimu wa watoto kujifunza “nidhamu na maagizo ya Yehova.” (Efe 6:4) Kujifunza kunahitaji jitihada, lakini kunaweza kuwa pindi yenye kufurahisha, hasa watoto wanapositawisha hamu ya kujua mengi zaidi kuhusu kweli za Biblia. (Yoh 6:27; 1Pe 2:2) Taja mambo kadhaa kwenye sanduku “ Mapendekezo ya Ibada ya Familia” ili kuwasaidia wazazi wafanye jioni ya Ibada ya Familia iwe pindi ya kujifunza na yenye kufurahisha, kisha waulize wasikilizaji maswali yafuatayo:

  • Ungependa kujaribu mapendekezo gani kati ya haya?

  • Kuna jambo lingine ambalo wewe umejionea kuwa lina manufaa?

Onyesha VIDEO Endelea Kuboresha Ibada ya Familia. Kisha waulize wasikilizaji:

  • Mume anawezaje kufanya mke wake afurahie ibada ya familia ikiwa hakuna watoto nyumbani?

8. Funzo la Biblia la Kutaniko

Umalizio (Dak. 3) | Wimbo 123 na Sala