Julai 1-7
ZABURI 57-59
Wimbo 148 na Sala | Utangulizi (Dak. 1)
1. Yehova Huwakatisha Tamaa Wanaowapinga Watu Wake
(Dak. 10)
Daudi alilazimika kujificha asikamatwe na Mfalme Sauli (1Sa 24:3; Zb 57, utangulizi)
Yehova alivuruga jitihada za wapinzani wa Daudi (1Sa 24:7-10, 17-22; Zb 57:3)
Mara nyingi wapinzani hujiumiza wenyewe (Zb 57:6; bt 220-221 ¶14-15)
JIULIZE, ‘Ninaweza kuonyeshaje kwamba ninamtegemea Yehova ninapokabili upinzani?’—Zb 57:2.
2. Hazina za Kiroho
(Dak. 10)
Zb 57:7—Inamaanisha nini kuwa na moyo imara? (w23.07 18-19 ¶16-17)
Ungependa kushiriki nasi hazina gani kutoka kwenye usomaji wa Biblia wa juma hili?
3. Usomaji wa Biblia
(Dak. 4) Zb 59:1-17 (th somo la 12)
4. Uvumilivu—Paulo Alifanya Nini?
(Dak. 7) Mazungumzo. Onyesha VIDEO, kisha mzungumzie lmd somo la 7 jambo kuu la 1-2.
5. Uvumilivu—Mwige Paulo
(Dak. 8) Mazungumzo yanayotegemea lmd somo la 7 jambo kuu la 3-5 na “Soma Pia.”
Wimbo 65
6. Mahitaji ya Kutaniko
(Dak. 15)
7. Funzo la Biblia la Kutaniko
(Dak. 30) bt sura ya 12 ¶1-6, sanduku uk. 96