Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Julai 1-7

ZABURI 57-59

Julai 1-7

Wimbo 148 na Sala | Utangulizi (Dak. 1)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

Mfalme Sauli na wanaume wake baada ya kushindwa kumkamata Daudi

1. Yehova Huwakatisha Tamaa Wanaowapinga Watu Wake

(Dak. 10)

Daudi alilazimika kujificha asikamatwe na Mfalme Sauli (1Sa 24:3; Zb 57, utangulizi)

Yehova alivuruga jitihada za wapinzani wa Daudi (1Sa 24:​7-10, 17-22; Zb 57:3)

Mara nyingi wapinzani hujiumiza wenyewe (Zb 57:6; bt 220-221 ¶14-15)

JIULIZE, ‘Ninaweza kuonyeshaje kwamba ninamtegemea Yehova ninapokabili upinzani?’—Zb 57:2.

2. Hazina za Kiroho

(Dak. 10)

  • Zb 57:7—Inamaanisha nini kuwa na moyo imara? (w23.07 18-19 ¶16-17)

  • Ungependa kushiriki nasi hazina gani kutoka kwenye usomaji wa Biblia wa juma hili?

3. Usomaji wa Biblia

BORESHA HUDUMA YAKO

4. Uvumilivu—Paulo Alifanya Nini?

(Dak. 7) Mazungumzo. Onyesha VIDEO, kisha mzungumzie lmd somo la 7 jambo kuu la 1-2.

5. Uvumilivu—Mwige Paulo

(Dak. 8) Mazungumzo yanayotegemea lmd somo la 7 jambo kuu la 3-5 na “Soma Pia.”

MAISHA YA MKRISTO

Wimbo 65

6. Mahitaji ya Kutaniko

(Dak. 15)

7. Funzo la Biblia la Kutaniko

Umalizio (Dak. 3) | Wimbo 78 na Sala