Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Julai 8-14

ZABURI 60-62

Julai 8-14

Wimbo 2 na Sala | Utangulizi (Dak. 1)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

1. Yehova Anatulinda na Kutuimarisha

(Dak. 10)

Yehova ni kama mnara ulio imara (Zb 61:3; it-2 1118 ¶7)

Yehova anaturuhusu tuwe wageni katika hema lake (Zb 61:4; it-2 1084 ¶8)

Yehova ni kama mwamba (Zb 62:2; w02 4/15 16 ¶14)


JIULIZE, ‘Maisha yangu yameboreshwa katika njia gani kwa sababu ya kumjua Yehova na kumtegemea?’

2. Hazina za Kiroho

(Dak. 10)

  • Zb 62:11—“Nguvu ni za Mungu” katika maana gani? (w06 6/1 11 ¶6)

  • Ungependa kushiriki nasi hazina gani kutoka kwenye usomaji wa Biblia wa juma hili?

3. Usomaji wa Biblia

BORESHA HUDUMA YAKO

4. Kuanzisha Mazungumzo

(Dak. 3) MAHUBIRI YASIYO RASMI. Anzisha mazungumzo baada ya mtu kukuonyesha fadhili. (lmd somo la 2 jambo kuu la 3)

5. Kufuatia Upendezi

(Dak. 4) NYUMBA KWA NYUMBA. Mweleze mtu huyo kuhusu programu ya JW Library® na umwonyeshe jinsi ya kuisakinisha. (lmd somo la 7 jambo kuu la 4)

6. Hotuba

(Dak. 5) w22.02 4-5 ¶7-10—Kichwa: Mtumaini Yehova Unapopokea Mwongozo. (th somo la 20)

MAISHA YA MKRISTO

Wimbo 12

7. Hakuna Kitu Kinachoweza “Kututenga na Upendo wa Mungu”

(Dak. 10) Mazungumzo.

Onyesha VIDEO. Kisha waulize wasikilizaji:

  • Ni katika njia zipi hususa Yehova alimtunza Ndugu Nyirenda wakati wa mateso?

8. Uwe Rafiki ya Yehova—Hatua za Kustahili Kubatizwa

(Dak. 5) Mazungumzo. Onyesha VIDEO. Kisha, ikiwezekana, waalike watoto uliowachagua mapema jukwaani na kuwauliza: Ili ustahili kubatizwa, ni nini muhimu zaidi kuliko umri wako? Ni hatua zipi unazohitaji kuchukua ili ustahili kubatizwa?

9. Funzo la Biblia la Kutaniko

Umalizio (Dak. 3) | Wimbo 63 na Sala