Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

HAZINA ZA NENO LA MUNGU | LUKA 4-5

Pinga Vishawishi Kama Yesu Alivyofanya

Pinga Vishawishi Kama Yesu Alivyofanya

Shetani anajaribu kuvunja ushikamanifu wetu kwa Yehova kwa kupotosha tamaa za moyo wetu. Anabadili mbinu zake kwa kutegemea mwelekeo na hali za kila mtu.

Yesu alitumia silaha gani yenye nguvu kupinga vishawishi vitatu vya kawaida? (Ebr 4:12; 1Yo 2:15, 16) Ninaweza kuigaje mfano wake?

  • 4:1-4

    “Tamaa ya mwili”

  • 4:5-8

    “Tamaa ya macho”

  • 4:9-12

    “Mtu kujionyesha”