Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

HAZINA ZA NENO LA MUNGU | WAEFESO 1-3

Mpango wa Usimamizi wa Yehova na Kazi Yake

Mpango wa Usimamizi wa Yehova na Kazi Yake

1:8-10

Usimamizi wa Yehova ni mpango wa kuwaunganisha viumbe wake wote wenye akili.

  • Unawatayarisha watiwa-mafuta kwa ajili ya kuishi mbinguni pamoja Yesu Kristo akiwa Kichwa chao cha kiroho

  • Unawatayarisha wale watakaoishi duniani chini ya Ufalme wa Kimasihi

Ni katika njia zipi ninaweza kuchangia umoja wa tengenezo la Yehova?