Mpango wa Usimamizi wa Yehova na Kazi Yake
Usimamizi wa Yehova ni mpango wa kuwaunganisha viumbe wake wote wenye akili.
-
Unawatayarisha watiwa-mafuta kwa ajili ya kuishi mbinguni pamoja Yesu Kristo akiwa Kichwa chao cha kiroho
-
Unawatayarisha wale watakaoishi duniani chini ya Ufalme wa Kimasihi
Ni katika njia zipi ninaweza kuchangia umoja wa tengenezo la Yehova?