Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

HAZINA ZA NENO LA MUNGU | WAEFESO 4-6

“Vaeni Mavazi Kamili ya Silaha Kutoka kwa Mungu”

“Vaeni Mavazi Kamili ya Silaha Kutoka kwa Mungu”

6:11-17

Mtume Paulo aliwalinganisha Wakristo na askari walio vitani. Adui zetu ni “majeshi ya roho waovu.” Ingawa tunaonekana kuwa dhaifu na rahisi kushambuliwa, tunaweza kushinda vita hivyo kwa msaada wa Yehova ikiwa “[tutavaa] mavazi kamili ya silaha kutoka kwa Mungu.”

Tambulisha kila sehemu ya mavazi ya silaha na kile inachowakilisha

JAMBO LA KUTAFAKARI: Je, mavazi yangu ya silaha ni kamili?